Utafiti wa Taasisi ya Collaborative Community Solutions wa Desemba 23, 2023 wa kutathmini athari za Ukatili kwa Watoto ulibaini kuwa mtoto kushuhudia aina yoyote ya ukatili huathiri maendeleo na uwezo wake wa kujifunza, na kusababisha matatizo mengi ya tabia na hisia
Utafiti huo umebaini pia...