watoto kukosa malezi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. realMamy

    Ongezeko la watoto wanaouza mifuko Sokoni ikiwamo Kariakoo linazidi kutia hofu

    Kama serikali inavyosema kila mara kuwa imejenga shule nyingi za kata na lengo kubwa ni kutaka watoto wa kitanzania wasome. Lakini cha kushangaza ni kwamba watoto wengi sasa hivi wanauza mifuko Sokoni iwe shule zimefungwa au wakati wa masomo. Waziri mwenye dhamana Dkt. Gwajima D tunaomba...
  2. Mcanada

    Naomba kufahamu Madhara ya kupeana talaka baada ya ndoa Kuvunjika

    Mimi ni mkristo na nipo kwenye ndoa kwa muda wa miaka 8 na tumebarikiwa kuwa na watoto wawili sasa ila kuna jambo nililikosea kwa mkewangu na sasa nataka nimwambie ukweli kuhusu hilo sasa kutokana na uzoefu kumhusu kwa kaliba yake naona kabisa ataenda kukiwasha isivyo kawaida na kwa asilimia...
Back
Top Bottom