watoto wa kijijini

  1. Atlast nimempata

    Pot ya watoto wa kijijini! Shikamoo akina mama!

    Mliozaliwa mjini, hapo mtoto anafanya nini? Malezi ni yaleyale tu! Tukutane shelli! 😀
  2. Mwanga Lutila

    Wanaume kama umetelekeza mtoto kijijini nenda kamchukue

    Wakuu wasalaam.. Niko vijiji vya ndani ndani huku Ndiwili wilaya ya kilolo nimekuja kwa shughuli zangu..baridi ni kali . Katika matembezi yangu nikakutana na watoto wadogo chini ya miaka 10 wengi ni 7 na 8 wakifanya vibarua vya kusomba mbao yaani kuzitoa msituni na kuzipeleka lilipo gari ili...
Back
Top Bottom