watoto wa matajiri

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. This is...

    Kadiri siku zinavyokwenda Seminari za Kanisa Katoliki zinabaki kuwa kwa ajili ya watoto wa matajiri na wenye vipato vikubwa.

    Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Seminari hizi za kikatoliki hawana habari na mtoto wa maskini. Nilimpeleka mtoto wa ndugu yangu aliyesoma shule za serikali kufanya interview kwa ajili ya kujiunga na kidato cha kwanza. Nilipomfikisha pale seminari nilikutana na mdau na ni mtu...
  2. J

    Zamani Watoto wa Matajiri na Masikini tulisoma Shule Moja mfano Mbowe na Ndugai, hii ilidumisha Uzalendo

    Siku hizi Watoto wa Matajiri wako International School na hawa Watoto wa mama mboga wanasoma Kayumba school Kwenye ushindani wa Ajira International School vs Kayumba school ni Sawa na Born Towns vs Bush Stars Na mwisho kiuhalali kabisa Teuzi lazima ziwahusu Born Towns Nawatakia Sabato Njema 😄😄
Back
Top Bottom