watoto wa mtaani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. N

    KERO Watoto wa mitaani wanaoishi chini ya daraja la Ubungo(Kijazi interchange) wamekuwa tatizo sana

    Je, serikali imeshindwa kabisa kuwaondoa na kuwadhibiti watoto hawa wa mitaani wanaolala chini ya daraja la Ubungo(Kijazi interchange) na ambao wamekuwa wakifanya kazi ya kusafisha vioo vya magari? Sasa hivi wamejijengea tabia ya ajabu kabisa ya kutaka kusafisha kwa nguvu vioo vya magari, sasa...
  2. B

    Kero kwa watoto wa mtaani Mwanza

    Nataka kuuliza serikali ina mpango Gani kuhusiana na watoto wa mtaani jijini mwanza. Maana wanasumbua kweli katika maeneo ya Seketoure na Nata Je, hao watoto hawana wazazi. Na kama hawana wazazi, kwanini Serikali halijalichukulia maanani hilo suala?
  3. Ghost MVP

    Kwanini Wafungwa Wanapewa Huduma Muhimu lakini Watoto wa Mtaani hawapewi

    Kwanini Wafungwa Wanapewa Chakula, Maji na Malazi, lakini Watoto wa Mtaani, ombaomba, na wenye Ulemavu mabarabarani, hawawezi kufanyiwa utaratibu wa kuwahudumia kama wanavyohidumiwa Wafungwa. Na wakajiajiri katika miradi kama ilivyo kwa wafungwa ambayo itawasaidia kujipatia pesa na mahitajinyao...
  4. K

    SoC04 Tanzania Ijayo bila Watoto wa Mtaani: Mwelekeo Sahihi wa Kitatuzi

    Tanzania Ijayo bila Watoto wa Mtaani: Mwelekeo Sahihi wa Kitatuzi Kadiri siku zinavyokwenda idadi ya watoto wa mtaani inazidi kuongezeka. Ongezeko lao linatishia mustakabali wa nchi kwa sababu ndani ya watoto wa mitaani, ndipo vikundi vya kihalifu huibuka kama vile pangaboy na panyaroad. Kwa...
Back
Top Bottom