Kwa wale ndugu zangu wapenda imani mtasema yule sio mtoto halali sababu ni dini.
Leo tunaona mtoto wa nje ya ndoa kila upande kutaka kuwa ndugu yake sababu kafanikiwa.
Tumeona wasanii, vigogo na mitaani visa hivi.
Nakumbuka kisa kimoja: Mzee X baada ya kufariki wakati wa mirathi dogo hakupata...