Nilikua nimekaa mahali mida ilikua imekwenda kidogo.
Sasa akaja jamaa akapaki hapo.
Zikapita dakika kumi akatoka mwanamke na mtoto mdogo wa kiume.
Akaingia ndani ya usafiri wa jamaa wakaongea like 30 mins.
Then wakaagana.
Sasa mtu unapata tabu kuona mwanao mida ya wachawi mbaya sana.
Habari,
Kuna rafiki yangu mmoja nilizoeana nae mda kidogo na tunafamianane kutoka na biashara zetu yeye anaumri wa 43 now. Ila kwa sasa anahali mbaya ya kiafya anaumwa magojwa yasiotibika haya kupona haiwezakani kabisa.
Sasa miaka kadhaa ya nyuma alipata mchepuko, katika kukutana na mchepuka...
Kwa wale ndugu zangu wapenda imani mtasema yule sio mtoto halali sababu ni dini.
Leo tunaona mtoto wa nje ya ndoa kila upande kutaka kuwa ndugu yake sababu kafanikiwa.
Tumeona wasanii, vigogo na mitaani visa hivi.
Nakumbuka kisa kimoja: Mzee X baada ya kufariki wakati wa mirathi dogo hakupata...
NDOA NA MATOKEO YA NDOA (TALAKA, UGONI)
Mambo ya ndoa sio mageni sana masikioni mwetu kwani wengine tupo ndoani na wengine marafiki zetu wapo ndoani na hata wazazi wetu wamekuwa ndoani. Kwa hiyo baadhi yetu ni matokeo ya ndoa za wazazi wetu na wengine tumepata matokeo ya ndoa zetu wenyewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.