watoto wa viongozi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    John Heche: Viongozi hatupeleki watoto wetu shule za Kata kwani hatuziamini?

    Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche amesema moja kati ya jambo linalothibitisha kwamba elimu ya shule za serikali si nzuri na haiaminiki ni hali ya viongozi wa juu serikalini ma kwenye vyama vya siasa kutopeleka watoto wao katika shule hizo.
  2. Carlos The Jackal

    Pre GE2025 Viti Maalumu Kwa CCM ni nafasi za watoto wa Viongozi na Ndugu zao , MTU anakua Mbunge mpaka Sasa miaka 20 Bungeni !!

    Viti Maalumu vimekua ni nafasi za wachache kujimilikisha Mali tu. Hata kama ni Mtaji wa Biashara, miaka mitano haitoshi?? Vijana wako mtaani ,Moja haikai Wala Mbili !!. Hata wa Makundi maalumu pia, Mbunge Keisha Kawa Mbunge zaidi ya miaka 10 , sijawah Msikia anachangia,,, ni kweli hamna...
  3. Mshana Jr

    Kila nyakati na majira yake! Thamani yako itakoma ukitoka kwenye cycle

    Kama kuna la kujifunza wengine wajifunze sasa. Na ni lazima wajilazimishe kutambua ya kwamba kuna kesho. Na kesho ni kubwa kuliko leo Watoto wa wanasiasa.. Wazazi wenu baadhi mikono yao imejaa damu za watu. Wengine walifika walipofika kwa kuwakandamiza na kuwaumiza wengine. Watoto wa wanasiasa...
Back
Top Bottom