watu kupotea

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. J

    Matukio ya watu kupotea na kutekwa na 'watu wasiojulikana' kuendelea kuzua hofu kwa wananchi, nini sababu ya matukio haya?

    Matukio ya Watu Kupotea katika mazingira ya kutatanisha, Kutekwa na wanaoitwa 'Watu Wasiojulikana', na wengine Kuuawa yameendelea kuzua hofu miongoni mwa Wananchi. Je, ni nini sababu ya Matukio haya? Ungana nasi katika mjadala maalum kupitia X Spaces ya JamiiForums kujadili matukio haya na...
  2. Tuepushe kipi kati ya uhai na siasa, utekaji na mauaji ya kisiasa? Ni heri kukaa bila vyama vingi ili tusiuane au tubebe yote?

    Kwa masikitiko makubwa, nashangaa kuona eti maisha na uhai wa watu unaweza kukatishwa kwa sababu zinazoitwa ni Siasa! Ni ujasiri uliopita kiwango cha Rehema za Mungu, mtu anapoamua kumdhuru mtu, kumtesa na kumwaga damu yake kwa madai ya kuendelea kubaki kwenye nafasi za kisiasa huku akijua...
  3. Nimeshangazwa na pole ya Spika Tulia kwa familia ya Mzee Ally Kibao. Je, sasa bunge litajadili hoja ya watu kupotea?

    Wasalaam Watanzania! Natumaini wote ni wazima wa afya kabisa na tunaendelea na kujilinda. Kwanza kabisa naomba ku-declare interest, Mimi sio Mwanachama wa chama chochote cha siasa na wala sijawahi kugombea nafasi yoyote ile katika chama chochote cha siasa bali ni muumini wa HAKI na Viongozi...
  4. Watu 53 wamepotea kuanzia Agosti mosi mpaka Agosti 31, 2024

    Jumla ya watu 53 wamepotea kuanzia Agosti mosi mpaka Agosti 31 mwaka 2024, ambapo jumla hii ni kwa wale tu waliofika kwenye ofisi za ITV Mikocheni Dar es Salaam, na taarifa zao kutangazwa kupitia kipindi cha Yu...Wapi?. Mgawanyo ya Watu waliopotea Chini ya miaka 18 - 21 (Wanawake 8, Wanaume 13)...
  5. Polisi: Wafanyabiashara wawili waliodaiwa kupotea Songea, waliuawa na Mganga wa Kienyeji na kuzikwa

    Jeshi la Polisi limeleza kuwa Wafanyabiashara Raymond Hyera maarufu Ray (25) na Riziki Mohamed (30) wa Songea, Ruvuma waliokuwa wamepotea walienda kwa Mganga kupata dawa ya kuwezesha biashara zao kufanya vema zaidi ambapo walinyweshwa maji yaliyowafanya walegee na kupoteza maisha na kisha Mganga...
  6. Nahisi Watu kupotea ovyo inatokana na Sababu 3 tu!

    Habari wakuu, Mimi nimefuatilia kwa muda idadi ya watu wanaopotea nchini nikabaini mambo matatu. Kuna masuala inabidi Wizara ya Mambo ya ndani isimame na kuanzisha kitengo ambacho kitasafisha jeshi ka polisi. Jamani watu wanapotea kwasababu 3 tu 1. Ushirikina, tunaingia mwaka uchaguzi nadhani...
  7. J

    Tulilikataa agizo la Magufuli la kuzuia mikutano ya siasa hadi nyakati za Uchaguzi, sasa mambo ya Utekaji ya enzi za akina Dk. Ulimboka yamerudi!

    Demokrasia ya Tanzania bado ni changa na kuvumiliana Siasani kuko very limited Mikutano ya Kisiasa huamsha hisia, mihemko na Mijadala isiyo na tija kwa Wananchi hivyo kuwapotezea Muda wao wa kuzalisha na kujipatia kipato Ndio Sababu wakati wa katazo la Mikutano ya holela ya Wanasiasa nchi...
  8. U

    Kuna gari V8 nyeusi imepaki hapa Kijiweni kwetu kitambo kidogo, hatujui nani mmiliki na kwanini ipo hapa!

    Mrejesho: saa 11:08 Naona kuna mdada amewasili na kuingia ndani ya V8 imeondoka ikiendeshwa na Dereva mwanaume kavaa suti nyeusi. Vicheko vimetawala ndani ya gari hiyo Aksanteni kwa maoni yenu na faraja yenu Wadau hamjamboni nyote? Mimi ni raia mwema kabisa na sina hofu ya kukamatwa Ila...
  9. Kilio cha umma juu ya utekaji kinazidi kupamba moto, serikali iwe makini cheche zilichoma msitu!

    Ukiangalia kwa jicho la ndani utaona kuna mawazo kinzani juu ya hili swala la utekaji. Serikali inasema hilo jambo halipo na watu wanajifanyisha tu maigizo ila utekaji haupo. Rejea kauli ya Rais. Ukija bungeni spika anazuia jambo hili lisijadiliwe bungeni hata kinafiki tu ili kufunika kombe...
  10. Pre GE2025 Godbless Lema aulizia namna mtu aliyetekwa anavyoweza kumthibitishia Jaji kwamba ni kweli katekwa

    Nabii wa Mungu Godbless Lema amehoji namna ambayo Mtu aliyetekwa anavyoweza kukurupuka kutoka mikononi mwa Watekaji ili kuja Mahakamani kumthibitishia Jaji wa Mahakama ya Tanzania kwamba ni kweli katekwa, ili Jaji huyo awaamuru Watekaji wamuachie. Hoja hii kabambe ya Nabii huyo wa Mungu...
  11. DOKEZO Mfanyabiashara wa Magari, Gideon Mlokozi Mashankara amepotea

    Anaitwa GIDEON MLOKOZI MASHANKARA ana umri wa miaka 30, mkazi wa Tabata Segerea, Kazi yake ni mfanyabiashara wa kuuza magari lakini pia ni mwanaharakati huru wa mitandaoni,hajulikani alipo siku ya saba leo baada ya kutekwa na kupotezwa. Alitekwa na watu waliojitambulisha kuwa ni askari wa...
  12. Pre GE2025 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa atoa majibu ya matukio ya kupotea na utekaji watu yanaendelea Nchini

    Waziri Mkuu Akijibu Maswali ya Papo kwa Papo, Bunge la kumi na mbili mkutano wa 16 kikao cha 3 tarehe 29 Agosti, 2024 Update.... Waziri Mkuu Ametoa majibu ya matukio ya utekaji yanaendelea Nataka nieleze kwamba tunapoilinda Nchi ni wajibu wetu Watanzania wote kwa kushirikiana na vyombo vyetu...
  13. Pre GE2025 Ally Hapi akemea tabia watu kuuwana, kutekwa na kupotea katika mazingira yanayoibua sintofahamu

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Wazazi, Jumuiya ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ally Hapi amekemea tabia inayoindelea kwa sasa ya watu kuuwana, kutekwa na kupotea katika mazingira yanayoibua sintofahamu na kuibua maswali mengi yasiyo na majibu katika jamii. Hapi ametoa kauli hiyo akiwa wilayani...
  14. J

    Enzi za Nyerere Mtu akipotea tulikuwa tunaenda kuripoti Kwa Mkuu wa Wilaya ambaye atatuma Vyombo vyake kumtafuta!

    Kuna baadhi ya mambo yalikuwa mazuri sana wakati wa Mwalimu Nyerere au tuseme enzi za Chama kimoja Mkuu wa Wilaya alikuwa ni Mlezi siyo Mtawala hivyo alihusika kuratibu Ustawi wa Jamii katika Wilaya yake na ikionekana mtu Mmoja hajulikani alipo taarifa ilipelekwa kwake Ahsanteni 🐼
  15. Familia, Ndugu, Jamaa na Marafiki wa Waliotekwa na kupotea Waitwa kwenye Ofisi za CHADEMA Mikocheni

    Tangazo la Meya Mstaafu wa Ubungo hili hapa, Ukisoma Waambie na wengine waliopotelewa na jamaa zao
  16. C

    Vyombo vya usalama vifanye 'crash program' kuhusu watu kupotea

    Mungu ni mwema
  17. Kukomesha utekaji serikali ipige marufuku vikundi hivi vya kisiasa kama itaweza

    Tumekua tukishuhudia utekaji wa watu nchini vikifanywa na eti wasiojulikana! Hawa wasiojulikana ni watanzania ambao huenda wamejiambatanisha na vyama vya siasa, hata hivyo ni CCM tu ndiyo ina vikundi vinavyojulikana kama Chawa, Uhamasishaji, Wadudu na Green Guard(Umoja wa vijana), hawa huenda...
  18. TLS, yatoa orodha ya watu waliopotea na kutekwa na tamko juu ya ongezeko la vitendo vya utekaji na upoteaji wa watu nchini

    Chama cha Wanasheria Tanganyika (Tanganyika Law Society - TLS) kikiongozwa na wakili Boniface A.K Mwabukusi kimetoa tamko zito lililoweka wazi hali ya kusikitisha inayolikumba taifa. Kwa mujibu wa tamko hilo, kumekuwa na ongezeko la matukio ya kutekwa, kupotea, na kuteswa kwa watu nchini...
  19. J

    Zitto Kabwe ampinga Waziri Masauni, asema Utekaji upo na unaendelea hivyo Waziri aukomeshe!

    Zitto Kabwe amemtaka waziri Masauni atembelee vijiji vya Kidegye, Heru Ushingo na Katanga wilayani Kasulu akashuhudie madhila ya Utekaji Zitto Kabwe amelalamika ukurasani X Ahsante 🐼 Pia soma - Tamko la Masauni Waziri wa Mambo ya Ndani kuhusu madai ya kusambaa kwa matukio ya utekaji wa...
  20. I

    Tumehama kuwaza mambo ya msingi sasa tunawaza upuuzi

    Tanzania ni hodari kwa propaganda. Tumetoka juzi kwenye wimbi la maandamano ya wafanyabiashara. Tupo kwenye wimbi la watu kupotea, ghafla tunasikia mgogoro wa Yanga eti magoma ana kesi ya kuondoa uongozi wa Yanga kwa kuwa haupo kihalali. Hii yote ni kuutoa umma wa Watanzania kwenye mambo ya...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…