Wafungwa nao ni binadamu kama sisi tuu. Wanaugua na wanaweza kupoteza maisha wakiwa kifungoni.. Je sheria inasemaje?
Zamani tuliambiwa mfungwa aliye kifungoni akipata madhila ya kupoteza maisha huzikwa na serikali kupitia magereza na ndugu zake huja kupewa taarifa baada ya kifungo kwisha.. Je...
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma limethibitisha kuwashikilia watu watatu kwa tuhuma za mauaji ya mama na bintiye wakazi wa mkoani humo
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Alchelaus Mutalemwa amewataja watu hao ambao ni Daudi Elias Nyakongo (45), Rajabu Rashidi (45) na Fikiri Steven (45) wote...
Watu watano wamefariki dunia na wengine 20 kujeruhiwa katika eneo la Iyovi baada ya gari aina ya Costa iliyokuwa ikitoka Mbeya kuelekea Dar es Salaam kujaribu kulipita Lori lililokuwa limeharibika njiani na kugongana na Lori jingine lililokuwa likitokea Mikumi.
Ajali hiyo imetokea hii leo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.