Confession: True story: mwaka 2024 Nimeshuhudia vijana (watu wa karibu) wakitengeneza zaidi ya 15M+ kila mmoja kwa mwaka kupitia content creation.
Siwezi kuwataja (wanaona hii tweet)
Leo nitakupa sori na njia wanazotumia kupata hizo pesa
Wengine wapo chuo, dropout
Nimewashuhudia wakiwa...
Katika jamii nyingi za kiafrika kuna kodi inaitwa Black Tax, Ukisha onekana una kipato simu zinaanza kuita, yaani tayari ushavikwa jukumu la kusaidia ndugu wa familia, ndugu wa baba, ndugu wa mama hadi wa mke.
Katika vitu ambavyo ningependa kuvijua tangu mwanzoni ni hivi
Usije kutaja kipato...
Husika na maada tajwa hapo juu,
Kutokana na Press ya Mh. Mbowe Leo imeonyesha kuwa Makam mwenyekiti yupo very irresponsible kwenye kutimiza majukumu yake, hasa kwenye masuala yanayohusu nidhamu ndani ya Chama, kwa heshima ilitakiwa baada ya speech ya Mh. Mwenyekiti, Lissu atangaze kuachia ngazi...
1. Rafiki zangu bodaboda wawili wameibiwa pikipiki, unajua huku Kusini msimu wa ufuta watu si wanakuwa na hela hivyo zinawapagawisha inabidi pikipiki ziwe mchongo kila siku zinaibiwa. Nikiwaona wale bodaboda walivyokuwa wa pole duh hadi huruma. Jana Tena imeibiwa sokoni waizi wameenea. Mwizi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.