watu wa mikoani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. mdukuzi

    Watu wa mikoani tukienda Dar tunang'ara ndani ya muda mfupi,tukirudi makwetu tunapauka

    Kuna dada wa kazi alienda huko daslam baada ya mwezi akarudi baada ya kupata msiba,siku anarudi ngozi kama mzungu.alikaa kuomboleza kwa wiki mblIi akafubaa tena. Wenzetuhuko daslam maji yenu ya kuoga munawekaga nini Nimemtaja huyo binti lakini mifano ninayo mingi tu
  2. Edsheraan

    Kwanini watu wa Dar mnakaa mnatusimanga watu wa mikoani?

    Habari, Tangu jana Kuna nyuzi zinatembea humu kutusimanga watu wa mikoani watu wa darslam tumewakosea nini? Mtupumzishe jamani au mnataka watu wote waishi DAR?
  3. O

    Biashara ya uingizaji wa vitu Tanzania, kutoka Nje na changamoto kubwa kwa watu wa mikoani

    Inasikitisha kuona office nyingi ziko Dar pekee wasafirishaji kama dhl, sailenti osheni n.k hawana office baadhi ya mikoa vile vile mikoa waliyopo Wana gharama kubwa sana!, anyway watu wa mikoani tunaumia mnavyotutenga na hizi pesa zenu mnazowekeza Dar pekee why hata katika majiji tu walau...
  4. God Fearing Person

    Ndugu zetu wa mikoani mbona mnaomba sana hela, kilimo hakilipi?

    Ndugu zetu wa mikoani mnaomba Sana hela Nauliza je kilimo hakilipi? Au imekuaje tena? Njooni DSM mpambme na nyie mmiliki hela. Maana chakupewa hakishibishi.
Back
Top Bottom