Nsikuchoshe na Usinchoshe, kwa kifupi tusichoshane!.
Kijana mwenzangu napenda kukupa ushauri wa bure kabisa.
Ushauri napenda kuwapa vijana (KIKE & ME) ambeo umetoka mkoani kuja mjini Dar es salaam kwa ajili ya kutafuta fedha,hapa mjini hatujaja kutafuta maisha,maisha hata mikoani yapo tena...