NB
Nitakayoandika hapa ni kutokana na Imani yangu na utafiti wangu.
"Kwanini watu wazuri hufa mapema na wabaya wanaishi miaka mingi ".
Hapa dunia kuna kitu kinaitwa Purpose ( Kusudio) na ndani ya hilo kusudio there's a mission kuna mission ambayo binadamu amekuja kuifanya hapa duniani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.