watu wasiofaa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Watu wote si wabaya, ila wabaya ni wale

    Wanaotelekeza watoto wao na wanaokimbia majukumu ya kifamilia (ikiwemo kutunza wazazi wakizeeka). Wanaowaonea wivu wengine na kuweka nguvu kwenye kuwashusha kiuchumi na au kuwazibia fursa kwenye shughuli zao za kujiingizia kipato. Wanaochepuka kwenye mahusiano na kuleta magonjwa kwa wenza wao...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…