Prof. Minzi na wengine!
Sijui kama Waafrika kuna siku tuta endelea na kufanikiwa kama wenzetu wazungu, wahindi, wachina, waarabu, nk. We seem to be at the lowest thinking, intellectual and moral level. Kwa nini nasema hivyo?
Nimewekeza hela nyingi sana kununua mashamba Mkoa wa Rukwa wilaya...