watumishi wilaya ya mlimba

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    KERO Changamoto ya ufuatiliaji na ulipaji wa stahiki za watumishi Halmashauri ya Wilaya ya Mlimba

    Halmashauri ya Wilaya ya Mlimba kuna changamoto ya ufatiliaji na ulipaji wa stahiki za watumishi hasa Fedha za likizo na malimbikizo ya mishahara. Ukifatilia kwa maafisa utumishi wanakuambia jaza fomu maalumu(unajaza) pamoja na barua za maombi lakini hayafanyiwi kazi tunapata changamoto tusaidiwe.
Back
Top Bottom