Radio Free Africa leo kwenye habari kwa ufupi saa nane mchana imeaarifu kuwa Watuhumiwa hao wame achiwa huru na mahakama baada mwendesha mashtaka kusema hana nia kuendelea na kesi.
Ikumbukwe marehemu alikuwa mchana mbele ya watu kwa mujibu wa taarifa za wakati huo.
Habari kamili kwenye taarifa...