Hii barabara ni muhimu sana kwasababu inayotumiwa sana kuingia na kutoka Dar es Salaam, ni barabara ambayo iko busy muda wote ikipitisha magari ya kutosha huku pia watembea kwa miguu nao wakiwa wengi sana.
Mara chache sana huwa natumia hii barabara nikiwa na gari binafsi au gari la umma, huwa...