Nimefuatilia mechi nyingi ambazo Simba wamepata ushindi mkubwa na kubaini kuwa beki kiongozi, mhamasishaji wa mashambulizi, mwenye macho ya kuona nafasi za washambuliaji na kuwatuma, Mzee baba Wawa amecheza.
Pamoja na mapungufu yake machache, tumuheshimu.