wawata

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Bashungwa Ashiriki Misa ya Kutabaruku Kanisa la RC Visiga, Aipongeza WAWATA

    Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ameupongeza Umoja wa Wanawake Wakatoliki Tanzania (WAWATA) kwa kuendelea kuwa mstari wa mbele kujitoa katika maendeleo ya kanisa na kutegemeza kazi za Kanisa Katoliki Tanzania. Bashungwa ameeleza hayo leo Feburuari 10, 2024 katika Misa Takatifu ya kutabaruku...
  2. Rais Samia: Tanzania haiwezi kupatwa na janga la njaa. Tuna akiba ya tani laki 1.5 za Chakula kwenye Ghala la Taifa

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki Jubilei ya Wanawake Wakatoliki Tanzania (WAWATA) katika Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dares Salaam tarehe 11 Septemba, 2022 HISTORIA FUPI YA WAWATA Wanawake Wakatoliki Tanzania (WAWATA) ni umoja ulioanzishwa mwaka...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…