Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ameupongeza Umoja wa Wanawake Wakatoliki Tanzania (WAWATA) kwa kuendelea kuwa mstari wa mbele kujitoa katika maendeleo ya kanisa na kutegemeza kazi za Kanisa Katoliki Tanzania.
Bashungwa ameeleza hayo leo Feburuari 10, 2024 katika Misa Takatifu ya kutabaruku...