wawekezaji tanzania

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. KERO BRELA msicheleweshe maombi ya wawekezaji kisa mtu hajatoa chochote

    Tanzania kwa nini tunakua namna hii? Watu wa Brela mtu ameshakamilisha na kujaza form zote na kulipia kila kitu kitendo cha mfanyakazi wa Brela kubonyeza button "FINISH" kinachukua siku 2 mpaka 3 kama hutoi chochote. Msifanye rushwa kua kitu cha lazima ili mtu akamilishe mambo yake hasa yakiwa...
  2. D

    Hayati Magufuli angekuwa bado ni Rais wawekezaji wangekuwa wameshakimbia wote

    Najaribu kuwaza tu kwa sauti JPM angekuwa bado yupo hali ingekuwaje mpaka sasa. Kwanza wawekezaji wote wameshakimbilia kenya au kwingineko tofauti na sasa ambako wawekezaji wanatoka kenya kuja hapa. Nini madhara yake? Vijana wangekuwa wanaranda randa myaani bila ajira yoyote mana uwekezaji...
  3. Tetesi: Balozi za nchi zenye uwekezaji mkubwa nchini zatishia kusimamisha miradi, inadaiwa TRA inawabambikia kodi kubwa zisizolipika

    Kana kwamba sakata la wafanyabiashara wa Kariakoo halijatosha, nimepata tetesi kuwa sasa waekezaji wakubwa wamezilalamikia Balozi zao kuwa TRA inawabambika kodi zisizolipika na wengi wametishia kuondoa uwekezaji wao. Huu inaelekea ni mwendelezo wa malalamiko ya wafanyabiashara wa Kariakoo, na...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…