Pamoja na ushabiki wetu, tunakumbusha tu Iran kuna wayahudi wengi tu na wanaendelea Kula maisha bila bugdha yoyote.
Video ya kuvutia sana.
Wayahudi wa Iran mjini Tehran wakisherehekea kuhitimu kwa marabi wapya na wachinjaji nyama. Kulingana na CNN na Fox News wanakandamizwa
Ni hayo tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.