Kila mzazi anachukizwa na tabia ya watoto kujiingiza kwenye mahusiano ya kimapenz shueni. Watoto wawapo shuleni hasa kizaz hiki wanakuwa na wapenzi wao. Wengine wanakuwa ile kimakuzi tu ni mpenz na wanashare chakula, na upendo ila si kimahaba kama ilivyo miaka hii. Hivi sasa watoto kwanza wana...
Hellow JF.
Hivi sasa jamii zetu zinapitia wakati mgumu sana katika swala la malezi na makuzi ya watoto ukilinganisha na jamii za miaka ya yuma.
Hivi leo kumekuwa na visa vingi sana mitaani vikahusishwa na malezi pamoja na makuzi ya watoto.
Leo jamii zinalia juu ya tabia na mienendo ya watoto...
Habari wakuu.
Wazazi WANAUME tuwekeni mazingira mazuri Kwa watoto wetu.
Umaskini ni mbaya Sana Tena Sana.
Unaleta ugomvi kwenye familia na pia umaskini unatenganisha familia.
Soma Pia: Kama umezaa watoto wengi na unaishi Tanzania au Afrika laana ya umasikini itakutesa sana wewe na uzao wako wote
Kumekucha wadau!
Leo nikiwa namsikiliza Aunt Sadaka, Mwanasaikolojia na Mshauri wa masuala ya Malezi, Ndoa na Mahusiano kwenye redio, nikajikuta nakumbuka mambo ya utotoni na vile vipondo. Aliweza kuzungumza kwa kina kuhusu jinsi wazazi au walezi wanavyopaswa kuwaachia watoto wao nafasi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.