wazazi wangu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kinjekitile Jr

    Kila nikijaribu kutaka kufanya Maendeleo kwa wazazi wangu ninashindwa

    Ninatoka familia duni sana ambayo kipato chao,mlo wao na ata makazi yao ni duni sana Nina wakubwa zangu Ila na wao wote wana familia zao na wao pia hali zao zipo chini sana kiuchumi, kwahiyo pale nyumban nimebaki mimi na wadogo zangu wengine ambao na wao bado wanasoma Mimi ndio mtu wa kwanza...
  2. ephen_

    Bora nirudi kwa wazazi wangu wanifunze upya

    "Based on a True Story " SEHEMU YA 1 "Tina! twende baba yangu amekuja" Haya ni maneno ya rafiki yangu Emmy mchana ya Siku ya jumamosi ya mwisho wa mwezi. "Mmh! Wewe nenda ukirudi utanikuta" nikamjibu " Twende nikakutambulishe baba yangu hana shida, lazima ameniletea chakula na huku bwenini...
  3. Expensive life

    Nimelikataa jina walilonipa wazazi wangu

    Mwaka 2009 wakati nikiwa form 3 nilienda kanisani na kumwambia baba mchungaji nataka kubadilisha jina hili walilonipa wazazi wangu silitaki. Eti wamenipa jina la babu yangu mzaa baba, babu mlevi kiwembe balaa kwa madem, alikuwa na utajiri wa ng’ombe 500 mbuzi kibao wote kahonga madem, mifugo...
  4. Mjukuu wa mama

    Niko njia panda katika maamuzi yangu na wazazi wangu, wanataka nijiendeleze kielimu

    Habari wanaJf, mimi ni kijana niliyehitimu kidato cha sita mwaka 2021 katika tahasusi ya HGL, baadae nikaanza biashara yangu ya mpesa, mwaka huo sikuomba chuo kutokana na matatizo ya kifamilia. Mwaka jana nikaomba chuo course ya sheria ila nikakosa mkopo, nikaamua kujikita kwenye biashara...
  5. P

    Sikufundishwa popote kuwapenda wazazi wangu

    Watu wengi wana mapenzi ya dhati kwa wazazi wao. Mapenzi haya bila shaka yanayokana na namna mzazi anavyotekeleza wajibu wake wa kulea familia aliyoanzisha. Mapenzi haya ya watoto kwa wazazi hayalazimishwi. Mapenzi ya namna hii yanaweza pia kuwepo kwa wananchi kuipenda nchi yao pale viongozi...
  6. M

    Naona wazazi wangu wamenichoka, ni muda sasa nami nianze kujitegemea

    Habarini wakuu! Ni mimi kijana wenu humu jamiiforums nina miaka 21, kama mnavyojuwa umri huu bado nipo masomoni chuo flani hivi apa dar na bado nipo home. Sasa tuludi kwenye mada, unajua nini hapa home sipaelewi sikuhizi nimekuwa nikichukiwa pasipo na sababu za msingi, hasa bi mkubwa amekuwa...
  7. Hemedy Jr Junior

    Natamani Wazazi wangu wananitafutie Mke wa kuoa me nitachemka akinishinda nawapa mzigo wao

    Utamaduni huu naomba kwangu ubaki maana Ndoa nyingi siku hizi hakuna japo tunaona sherehe nyingi sana kuliko Ndoa. mimi naomba wazazi wangu wanitafutie mke atakayenifaa hivo tu sijajua kwako kijana mwenzangu una maoni gani juu ya hili.
  8. Yofav

    Sijivunii wazazi wangu

    Hivi ni wote mna wazazi kama wangu? Au mliwahi kuwa na wazazi kama wangu?, Najua ambao hamuelewi nini nazungumzia hapa haiwezi kuwaingia akilini au pia mnaweza kuhisi labda sina akili timamu na wale ambao kwa bahati mbaya mlishapoteza wazazi wenu basi pia hii tungo haitowaingia akilini, ila aina...
  9. Ma Mshuza

    Barua ya majibu kwa Wazazi Wangu

    Kambi ya Fisi Mimi sijambo. Shikamooni. Huku Dar joto tu baba na mama. Mambo mengi muda mchache.nashukuru kama mnaniombea ni jambo jema.Nami nawaombea pia. Huku mjini baba siyo kama huko Kiparang'anda.eti umpate mchumba asikujaribu na wewe umsimjaribu. Mbona unatalia kilio cha mbwa mdomo juu...
  10. S

    Wazazi wangu wakija kwangu wanafanya maamuzi ya nini kifanyike!

    Habari wanajamvi, Kwa muda sasa kuna jambo limekua linaniumiza na nimekosa pa kuliongelea kwa uhuru ila naamini humu nitapata hekima na busara zangu. Kama ilivyo ndoto ya kila mzazi anaesomesha mtoto ni ili mtoto ajisimamie na awe msaada kwa wazazi na nduguze baadae. Hivyo ndivyo ilivyokuwa...
Back
Top Bottom