Zamani awamu za nyuma, kulikuwa na wazee wa Dar es salaam.
Hawa mara kwa mara wangeweza kufanya vikao na mkuu wa nchi kuhusiana na mambo mbalimbali ya nchi.
Awamu iliyopita ni kama walipuuzwa na awamu hii ni kama wamesahaulika.
Je zama zao zimekwisha?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.