wazee wastaafu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Zanzibar-ASP

    Huu mtindo wa CCM wa kuwapa madaraka ya juu wazee wastaafu waliochoka ndio utamaduni wao!

    Kuna vitu vinashangaza mnoo katika siasa za CCM ambapo kile kinachoimbwa majukwaani (kuwawezesha vijana na wanawake) ni tofauti kabisa na kile kinachofanyika. Hili la wazee wastaafu waliochoka na kuchokwa kurejeshwa kinguvu kwenye ulingo wa kisiasa ni miongoni mwa maajabu ya siasa za CCM. Hizi...
  2. M

    Ni lini wale Wazee Wastaafu wa Tabora watapata haki zao?

    Baba yangu alikuwa mwaliimu, alistafu mwaka 2014 baba yangu mdogo wa hiari alifuata akastaafu 2015. Kimbembe ni kwamba tangu walipostaafu miaka ile mpaka tunapoongea muda huu hawajapata hata Senti tano sio pspf wala pension sijui kiinua mgogo hawajapata mpka leo. Kuna vitendo ambavyo...
  3. A

    DOKEZO Serikali wasaidieni Wastaafu wa CANVAS (Morogoro), miaka 25 hawajapata haki yao, wenzao 140 wameshatangulia mbele ya haki

    Mimi ni mtoto wa mmoja wa Wazee Wastaafu wa Kiwanda cha Maturubai (CANVAS) mkoani Morogoro ambao wamekuwa wakidai fidia zao kwa zaidi ya miaka 25 sasa bila mafanikio yoyote huku ikisemekana kwamba Hazina ndio kikwazo kikubwa katika mchakato huu. Nimelazimika kuandika huku Jamii Forums baada ya...
  4. Mkongwe Mzoefu

    Mwigulu umewadanganya Wastaafu, Bunge na Rais. Laana ya wazee mtaiona

    Leo mkijifanya mnasherehekea kwa mbwembwe na ukwasi mkubwa kumbukumbu ya mashujaa, nimekaa hapa na askari mstaafu wa JWTZ aliyeishia cheo cha Staff Sargent na alikatikia mguu akiwa vitani Uganda 1979 na mzee huyu analipwa pension na Hazina shs 100,000/ kwa mwezi. Hawa ndio wastaafu ambao baada...
Back
Top Bottom