waziri elimu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Lambardi

    KERO Waziri wa Elimu, tunaomba msaada wako. Shule binafsi bweni hawataki tuone watoto

    Salaam na heshima kwako Mh Waziri Elimu Prof Mkenda. Awali ya yote nawapa pongezi sana kwa jitihada zenu kuboresha elimu tangu msingi hadi sekondari..hongera sana awamu hii pongezi kwa Mama Samia. Wazazi tuna malalamiko hasa kwa shule binafsi za bweni shulw msingi na sekondari....kwa nini...
  2. SAFCo_Academy

    (Tanzania) Clean up your data headaches! Jump into Power Query training and see how it can make your data work way easier.

    Why Choose Power Query Training with Us? Hands-On Learning: Our training is practical and hands-on, ensuring you gain real-world skills that you can apply immediately. Expert Guidance: Learn from experienced instructors who will guide you through the ins and outs of Power Query. Supportive...
  3. JanguKamaJangu

    Waziri wa Elimu: Elimu ya juu inaporomoka, viwango vya Uprofesa vimeshuka

    WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda amesema elimu ya juu inaporomoka huku akishangaa kushuka kwa viwango vya kupata uprofesa. Hali hiyo imemfanya ayatake Mabaraza ya Vyuo Vikuu Tanzania kuwepo na ubora kwa kutoshusha vigezo ili kupata watu wengi. Alitoa kauli hiyo jana...
  4. Stephano Mgendanyi

    Maisha ya Kenani Kihongosi ni somo; hii ndiyo safari yake Kiongozi

    JE, WAJUA? Maisha ya Kenani yanatupa Somo - Amekuwa Waziri Mkuu wa Chuo Kikuu cha Iringa - Amekuwa Katibu Mkuu Mtendaji wa Jumuiya ya vyuo vikuu Tanzania TAHLISO - Amekuwa mjumbe wa Kamati ya Siasa Tawi. - Mjumbe wa Kamati ya siasa Kata. - Mjumbe halmasahuri Kuu ya Wilaya. - Mjumbe wa...
  5. Emmanuel180

    Waziri wa Elimu anafanya kazi gani mpaka baadhi ya mambo ayatolee maamuzi Rais?

    Binafsi huwa napatwa na mhaho sana pale ambapo nakua naangalia utendaji kazi wa baadhi ya mawaziri ambao wengine ni maprofesa kabisa lakini wao kama mawaziri sioni contribution yao moja kwa moja wanasubiri wadau walalamike moja kwa moja kwa Rais then yeye anafuatisha maagizo. Je, Wao hawawezi...
  6. Miss Zomboko

    Hotuba Wizara ya Elimu: Tozo ya 6% kwenye mikopo ya Elimu kuondolewa Julai 1. Pia Serikali itaondoa tozo ya 10% kwa wanaochelewa kulipa mikopo yao

    Serikali itaondoa tozo ya asilimia sita ya kulinda thamani ya fedha katika urejeshaji wa mkopo kuanzia 1 Julai 2021, iliyokuwa inatozwa kwa wanufaika wa Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu, ikiwa ni agizo la Rais Samia Suluhu Hassan Waziri wa Elimu Prof Joyce Ndalichakob ameeleza bungeni kuwa...
Back
Top Bottom