Binafsi naiheshimu sana serikali pamoja na viongozi wake kuanzia ngazi za chini mpaka kule juu.Serikali za mitaa zinafanya vizuri pamoja na kuwepo kwa changamoto kadha wa kadha. Hali kadhalika serikali kuu inafanya vyema, changamoto zipo tu hata mataifa yaliyoendelea wana changamoto lukuki tu...
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Masauni amesema tayari vyombo vya dola vimeshawatia nguvuni watuhumiwa wa ubakaji na ulawiti wa msichana anayedaiwa kuwa ni mkazi wa Yombo Dovya jijini Dar es Salaam.
Agosti 4, 2024 zilisambaa video katika mitandao ya kijamii zikiwaonyesha vijana watano...
Sativa ameandika haya kwenye ukurasa wake wa X;
"Hii ndio hali yangu ya Sasa.
"Madaktari wanaweza kunielewa. Hizi nyaya na Lastiki nimefungwa mdomo mzima.
"Hii ni kama "HOGO" ambapo ukivunjika kwenye mfupa linafungwa kwa nje kuzuia movement za eneo husika.
"Hizi nyaya zinafungwa na Lastiki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.