waziri hamad masauni

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mjukuu wa kigogo

    Waziri Hamad Masauni, IGP Wambura leo nitawapa mifano uonevu wa askari wa kituo cha polisi Bunda. Mkifanyie uchunguzi pia chunguzeni haya ninayoyasema

    Binafsi naiheshimu sana serikali pamoja na viongozi wake kuanzia ngazi za chini mpaka kule juu.Serikali za mitaa zinafanya vizuri pamoja na kuwepo kwa changamoto kadha wa kadha. Hali kadhalika serikali kuu inafanya vyema, changamoto zipo tu hata mataifa yaliyoendelea wana changamoto lukuki tu...
  2. mwanamwana

    Watuhumiwa wa mande ya Ubakaji na ulawiti waliotumwa na afande wakamatwa

    Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Masauni amesema tayari vyombo vya dola vimeshawatia nguvuni watuhumiwa wa ubakaji na ulawiti wa msichana anayedaiwa kuwa ni mkazi wa Yombo Dovya jijini Dar es Salaam. Agosti 4, 2024 zilisambaa video katika mitandao ya kijamii zikiwaonyesha vijana watano...
  3. Cute Wife

    Sativa: Naendelea na matibabu siwezi hata kufungua mdomo, yakimalizika nitatoa ushirikiano wanaotaka

    Sativa ameandika haya kwenye ukurasa wake wa X; "Hii ndio hali yangu ya Sasa. "Madaktari wanaweza kunielewa. Hizi nyaya na Lastiki nimefungwa mdomo mzima. "Hii ni kama "HOGO" ambapo ukivunjika kwenye mfupa linafungwa kwa nje kuzuia movement za eneo husika. "Hizi nyaya zinafungwa na Lastiki...
Back
Top Bottom