waziri hussein bashe

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. K

    Wasiomuelewa Hussein Bashe kwenye sukari waelewe swali la Dkt.Tulia

    Kitu kitakachokumbukwa sana kwenye bunge la bajeti mwaka huu 2024 utakuwa mjadala wa sukari kati ya Mpina na Bashe. Dkt. Tulia ameuliza swali la msingi sana kuhusu muda ambao viwanda vyetu vinahitaji ili viweze kuzalisha sukari kwa utoshelevu na hatimaye bei iwe sawa na nchi zilizotuzunguka...
  2. B

    Tanzania na Kilimo cha Mtandaoni: Je, Waziri Bashe anaifahamu jamii ya wakulima Tanzania?

    Asalam, Leo nimeona sio mbaya kujadili mada hii, NBS inaonesha karibia 65% ya Watanzania wanajihusisha na kilimo. Kilimo cha kujikimu na kiasi kidogo kubadilishia mboga. Tukichanganya ufugaji na uvuvi kama sehemu ya kilimo (maana karibu wate hawa ni wabangaizaji) basi ni 83%. Sasa maswali...
Back
Top Bottom