Afisa wa polisi anayefanya kazi kama sehemu ya timu ya ulinzi wa karibu ya Waziri Mkuu Sunak amekamatwa kwa madai ya kufanya kamari kuhusu muda wa uchaguzi mkuu, BBC imebaini.
Kwa kuwa mlinzi wa Waziri Mkuu ni mtu wa karibu na inawezekana alisikia maongezi ya ya Sunak kuhusu tarehe ambayo...