waziri wa katiba na sheria

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Nyani Ngabu

    Aliondolewa 2022, karudishwa tena 2024! I’m confused

    Palagamagamba Kabudi aliteuliwa [na Rais Samia] kuwa waziri wa sheria na katiba Aprili 2021. 2022 akaondolewa kutoka kwenye hiyo Wizara. Leo/ jana, huyo Palamagamba Kabudi kateuliwa tena kuwa waziri wa katiba na sheria. Hivi nyie mnamuelewa kweli huyu Rais tuliyenaye? Kama Kabudi aliondolewa...
  2. BARD AI

    Tanzania yafunguliwa Kesi ya Madai ya Tsh. Trilioni 3.2 kutoka kampuni ya Orca Energy kwa kukiuka Mkataba wa Uwekezaji

    ◾Serikali ya Tanzania kwa mara nyingine tena imeshutumiwa na kampuni ya wawekezaji wa kigeni kwa kukiuka masharti ya mkataba wa uwekezaji baina ya nchi mbili (BIT) ◾Haya yanajiri wiki chache tu baada ya Tanzania kukubali kulipa dola milioni 90 kwa kampuni ya Australia kutatua kesi ya usuluhishi...
  3. J

    Ukweli ni kuwa Bunge liko chini ya Waziri Mkuu na Mahakama iko chini ya Waziri wa Katiba na Sheria, na Wote wako chini ya Rais wa JMT

    Anayemlipa mpiga zumari ndiye anayechagua wimbo wengine wanabaki kuwa wanenguaji tu kwenye burudani Bajeti ya Bunge iko ofisi ya Waziri mkuu kama unabisha angalia nani huwa anapanga tarehe za mikutano ya Bunge Bajeti ya Mahakama iko Wizara ya Katiba na Sheria Ndio Shujaa Magufuli akasema...
Back
Top Bottom