1. Mteue Makonda kuwa waziri wa mambo ya ndani. Nakuapia vibaka wote, hawa panya road hadi wale wanaowaibia wazungu huko nje kwa kofia ya siasa wataacha. In fact, watapigwa marufuku hata kwenda huko kiholela.
2. Mrejeshe Kalemani kwenye wizara. Yuko smart yule mtu.
3. Fanya kitu hapo Jangwani...