Nchi ni kama haina waziri wa michezo.
Olympics tunapeleka watu watatu.
TFF uchaguzi wa kihuni.
Simba mwnye asilimia 49 anafanya maamuzi yote.
Je, Mo alivyomteua Barbara ilikuwepo.
Regulatory Approval? Au hakuna hata Regulatory Institutions za kufatilia hizi clubs?
Waziri yupo Tu mambo...