waziri wa viwanda

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waziri wa Viwanda na Biashara upo?

    Sukari sasa kilo moja ni Tsh 4500! Hii nchi imekuwa kama utawala wa kambale mama ana ndevu baba ana ndevu hakuna hata mbunge, waziri au mkurugenzi anaongelea hii hali. CCM ipo kimya, Makonda anapanda farasi na baiskeli tuu hivi ni kweli hawajui hii hali?
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…