Wasafi Classic Baby (WCB) is a Tanzania-based record label founded by musician Diamond Platnumz. WCB's commercial roster includes Diamond Platnumz, Mbosso, Zuchu, Lava Lava, Queen Darleen, and D Voice. The label is headquartered at Mbezi Beach, Dar Es Salaam. The label's Vice President is RJ The DJ, who is also Diamond Platnumz's official DJ, while the official producer of the label is Lizer Classic. In 2017, the WCB Wasafi artists released a joint project titled Zilipendwa, and in 2020, they released their second single titled Quarantine. In 2021, WCB Wasafi signed a publishing and distribution deal with Ziiki and Warner Music Group.
Wakuu,
Kwa ujumbe tutegemee kuwa na harusi ya taifa hivi karibuni.
Diamond kafa kaoza kwa Zuchu, huu hapa ujumbe wake kwa mpenzi wake katika siku hii ya Wapendanao
Bosi wa lebo ya muziki wa WCB Wasafi Diamond Platnumz amethibitisha Mbosso kuondoka rasmi chini ya lebo hiyo na kuwa msanii huru ambaye anajitegemea mwenyewe kisanaa.
Soma: Diamond afafanua ishu ya Mbosso kuondoka WCB
Akimwelezea kutokana na ukarimu na heshima ya Mbosso kipindi chote wakiwa...
Wakuu
Mtangazaji na mtu wa karibu na Diamond Platnumz, Baba Levo amesema Mbosso amepata baraka zote sasa ni ruksa kuondoka WCB Wasafi na hatolipa gharama yoyote kama ilivyokuwa kwa Harmonize, Rayvanny
When Zuchu released her debut EP in the Covid-19-filled April of 2020, it was quite clear what she was aiming for.
The songs in I Am Zuchu, such as Wana, Raha, Kwaru, and Hakuna Kulala—which Zuchu has described as her best song she has written—alongside the Mbosso-assisted Ashua, positioned her...
Habari zenu wanabodi.
Kama mtakumbuka vizuri, mwaka 2017 Diamond alianzisha platform ya kuuza muziki ya kuitwa Wasafi Dot Com ambapo watu walitakiwa walipe kiasi cha 300 ili waweze kununua nyimbo za wasanii.
Sina uhakika sana nini kilitokea lakini hiyo platform kufikia sasa ni haipo.
Watu...
Licha ya mafanikio yao makubwa katika muziki, wasanii wa Bongo wamekuwa wakipiga hela kupitia biashara na miradi tofauti nje ya muziki:
1. Diamond Platnumz – Mbali na muziki, Diamond amejikita kwenye sekta ya habari akiwa na Wasafi TV na Wasafi FM. Pia, alianzisha lebo ya muziki WCB Wasafi...
alikiba
bongo
diamond platnumz
harmonize
hela
mastaa
muziki
nandy na bilinass
nje
ommy dimpoz
rayvanny
sugu mbeya
wasafi bet
wasafi fm
wasafi tv
wcbwasafi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.