wcb wasafi

Wasafi Classic Baby (WCB) is a Tanzania-based record label founded by musician Diamond Platnumz. WCB's commercial roster includes Diamond Platnumz, Mbosso, Zuchu, Lava Lava, Queen Darleen, and D Voice. The label is headquartered at Mbezi Beach, Dar Es Salaam. The label's Vice President is RJ The DJ, who is also Diamond Platnumz's official DJ, while the official producer of the label is Lizer Classic. In 2017, the WCB Wasafi artists released a joint project titled Zilipendwa, and in 2020, they released their second single titled Quarantine. In 2021, WCB Wasafi signed a publishing and distribution deal with Ziiki and Warner Music Group.

View More On Wikipedia.org
  1. Mindyou

    Diamond kafa kaoza kwa Zuchu. Amwambia 'Sijawahi kupenda kama ninavyokupenda' kwenye ujumbe wa Valentine

    Wakuu, Kwa ujumbe tutegemee kuwa na harusi ya taifa hivi karibuni. Diamond kafa kaoza kwa Zuchu, huu hapa ujumbe wake kwa mpenzi wake katika siku hii ya Wapendanao
  2. Waufukweni

    Diamond athibitisha Mbosso kuondoka rasmi WCB Wasafi na hajamdai hata TSh. 10

    Bosi wa lebo ya muziki wa WCB Wasafi Diamond Platnumz amethibitisha Mbosso kuondoka rasmi chini ya lebo hiyo na kuwa msanii huru ambaye anajitegemea mwenyewe kisanaa. Soma: Diamond afafanua ishu ya Mbosso kuondoka WCB Akimwelezea kutokana na ukarimu na heshima ya Mbosso kipindi chote wakiwa...
  3. Waufukweni

    Baba Levo atangaza Mbosso kuondoka WCB Wasafi na uamuzi wa Diamond

    Wakuu Mtangazaji na mtu wa karibu na Diamond Platnumz, Baba Levo amesema Mbosso amepata baraka zote sasa ni ruksa kuondoka WCB Wasafi na hatolipa gharama yoyote kama ilivyokuwa kwa Harmonize, Rayvanny
  4. CHARLES MAGANGA

    Peace and Money Review: Zuchu has served a foreign buffet that her local consumers never asked for!

    When Zuchu released her debut EP in the Covid-19-filled April of 2020, it was quite clear what she was aiming for. The songs in I Am Zuchu, such as Wana, Raha, Kwaru, and Hakuna Kulala—which Zuchu has described as her best song she has written—alongside the Mbosso-assisted Ashua, positioned her...
  5. Mindyou

    Iko wapi Wasafi Dot Com ya Diamond Platnumz? Na kwanini hatuisikii?

    Habari zenu wanabodi. Kama mtakumbuka vizuri, mwaka 2017 Diamond alianzisha platform ya kuuza muziki ya kuitwa Wasafi Dot Com ambapo watu walitakiwa walipe kiasi cha 300 ili waweze kununua nyimbo za wasanii. Sina uhakika sana nini kilitokea lakini hiyo platform kufikia sasa ni haipo. Watu...
  6. Waufukweni

    Hivi ndivyo mastaa wa Bongo wanavyopiga hela nje ya muziki

    Licha ya mafanikio yao makubwa katika muziki, wasanii wa Bongo wamekuwa wakipiga hela kupitia biashara na miradi tofauti nje ya muziki: 1. Diamond Platnumz – Mbali na muziki, Diamond amejikita kwenye sekta ya habari akiwa na Wasafi TV na Wasafi FM. Pia, alianzisha lebo ya muziki WCB Wasafi...
Back
Top Bottom