Wakuu umofia kwenu.
Kwa sasa sote tunajua namna gani yanga imekuwa na wachezaji imara na ushindani mkubwa wa namba kiasi kwamba ukipewa nafasi tu unakaza kweli kweli
Well kutokana na falsafa ya Gamondi wafuatao wasipojichunga watakalia kuti kavu.
⭕️ KENNEDY MUSONDA
Huyu kwa sasa amekuwa na...