Web is a computer programming system created by Donald E. Knuth as the first implementation of what he called "literate programming": the idea that one could create software as works of literature, by embedding source code inside descriptive text, rather than the reverse (as is common practice in most programming languages), in an order that is convenient for exposition to human readers, rather than in the order demanded by the compiler.Web consists of two secondary programs: TANGLE, which produces compilable Pascal code from the source texts, and WEAVE, which produces nicely-formatted, printable documentation using TeX.
CWEB is a version of Web for the C programming language, while noweb is a separate literate programming tool, which is inspired by Web (as reflected in the name) and which is language agnostic.
The most significant programs written in Web are TeX and Metafont. Modern TeX distributions use another program Web2C to convert Web source to C.
Hatua 3 Jinsi ya kuingia Dark Web (simu na computer)
Katika pitapita zangu nimekutana na maelezo kuhusu dark web internet ambayo haiwezi kufikiwa na injini za utafutaji za kawaida, watu wengi wamelezea inavyo tosha kuelewa sehemu hii ya internet, nitakacho kupa hapa ni faida kama haujawahi...
Kipindi nilikua napata mda wa kuwa free nilikua nafanya project ya kutengeneza ecommerce application, mpaka sasa naona imekamilika baada test za hapa na pale
https://voxmart.co.tz/
💥OFFER-OFFER-OFFER BAABKUBWA💥
💥 Jipatie Web Hosting Ya Mwaka Mmoja Kwa Tsh 55,000 Tu! 💥
1️⃣ 25 NVMe SSD Storage
2️⃣ Free Website Migration/Transfer
3️⃣ Maximum Speed (Up to 3x)
4️⃣ Kama Unaitaji (Landing Page) au PHP Script yoyote, tuta-install Bure
⚡️ Usikose ofa hii ya kipekee!.
📞Tupigie...
💥OFFER-OFFER-OFFER BAABKUBWA💥
💥 Jipatie Web Hosting Ya Mwaka Mmoja Kwa Tsh 55,000 Tu! 💥
1️⃣ 25 NVMe SSD Storage
2️⃣ Free Website Migration/Transfer
3️⃣ Maximum Speed (Up to 3x)
4️⃣ Kama Unaitaji (Landing Page) au PHP Script yoyote, tuta-install Bure
⚡ Usikose ofa hii ya kipekee!
📞Tupigie: 0780...
💥OFFER-OFFER-OFFER💥
NetFasta.Com - Stress-Free Web Hosting
💥 Jipatie Web Hosting Ya Mwaka Mmoja Kwa Tsh 150,000 Tu! 💥 Kwa Kifurushi Chochote Utakacho Chagua Na Utapata Ofa Hizi:
1️⃣ Utapata Domain Ya .Com Bure
2️⃣ Tuta-Design Website Yako 1 Bure
3️⃣ Kama Una Website Ziko Kwenye Hosting...
Habari,
kwa jina naitwa Anderson Mgaya ni kijana mwenye uzoefu na uwezo mkubwa katika Web Development na Application Development. Ikiwa unahitaji tovuti ya kisasa au programu itakayowezesha biashara yako au mradi wako kufikia viwango vya juu, niko tayari kufanya kazi na wewe kwa bei nafuu...
Hivi karibuni nilitaka kufungua website kwaajili ya kufanya project yangu fulani. hivyo niliamua kununua domain na hosting kwaajili ya project yangu.
Nikaanza kufanya research juu ya kampuni ambayo ningeweza kuitumia kwaajili ya kuhost website yangu.lakini nikajikuta nakwama kutokana na gharama...
bei
biashara
bora
domain
hosting
kupanda
mbili
sababu
sababu za
services
tanzania
umuhimu
umuhimu wa website
wafanya biashara
webweb hosting
website
yako
Wakuu, samahini nilikuwa naomba niuliza kwa wanaojuwa kati ya hizi programming skills job.
1. Full stack web developer,
2. Block chain developer,
3. Machine learning and Artificial intelligenece
Ipi ni marketable sana hapa TANZANIA even OUTSIDE?
Hivi ni sahihi kuendelea kuwa na Tangazo hilo mpaka leo? Mie ninafikiri Tangazo la hivi sio baya kutolewa just at the same Day kwenye Media na kisha siku zinazofuata basi lisiwepo! Haid nimejisikia vibaya pengine Taasisi yangu nimekosea kutoliweka kwa web Tangazo hilo! Twampenda Rais wetu...
Je Umekuwa ukitafuta web Hosting ya Gharama nafuu na Umekosa, hapa ndo penyew pata web Hosting Bora na Nzur kwa Kazi zako sasa, niko na Offer hapa
Plan 1
2 - 4 GB RAM and 2 CPU CORE
Linux Ultimate ( $10.80 ) - 1 Year
Linux Ultimate ( $25.90 ) - 2 Year
Linux Ultimate ( $40.80 ) - 3 Year
Linux...
Katika maisha haya, najivunia vitu vitatu muhimu
3. Najivunia kuwa mtu wa watu i.e mchapakazi, mcheshi, bidii katika kazi bila kujali hasara, moyo usio na chuki, usio na hasira, usio na wivu wa kijinga n.k
2. Najivunia kuwa mwanachama wa mitandao ya kijamii ya JamiiForums na X
1. Najivunia...
Habari zenu wadau
Nimekuja hapa nahitaji muongozo wenu nijue kampuni gani inafaa za hii huduma web hosting hapa Tanzania
Ninataka nifungue site yangu kabla sijakulupuka nimeona ni vyema nipate muongozo
Wakuu kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu
kuwa mimi ni web developer kwa miaka takribani 5
ninafahamu PHP, Javascripty,Mysql,CSS,
pia nafahamu laravel na codeignter kwa ufasihi mkubwa pia nafahamu
Kotlin pamoja na Java nafahamu vizuri kabisaa frameworks ya Java spring.
lengo la...
Position: Web (Site) Editor
Location: Dar es Salaam
Job Purpose:
This position requires a digital savvy bilingual journalist obsessed with using data 8 insights to generate engaging content and build audiences across multiple platforms.
She/He should have a proven track record in creating...
Zito Kabwe, Kiongozi wa chama cha ACT amekuwa kimya kwa masuala makubwa yanayoikumba Tanzania, Tanganyika in particular. Kwa tunaomfahamu Zitto Kabwe na umahili wake wa kuchambua mambo ya kisiasa, kiuchumi n.k. leo hii amekuwa kimya katika suala la Bandari, Loliondo, Ngorongoro, katiba mpya with...
Kama wewe ni web designer mzuri nipe ofa yako PM kwa ku-design website kama hii ya Findel International. Biashara yangu ni kama yao 100%.
Kitu ambacho sitataka kama wao ni huo mfumo wa malipo (payment integration)... kwa sasa sihitaji. Visit hiyo website kupitia link niliyokuwekea kisha njoo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.