Price yangu ni affordable na ya makubaliano.
Nina Business Centric Approach, yenye lengo ya kuipush idea yako ifanikiwe kwenye market ikiwemo na ushauri wa bure jinsi gani inaweza fanikiwa.
Technologies ninazotumia;
1. Laravel (version 6 up to 8)
2. Vuejs(Version 2 up to 3)
3. Database(Mysql)...
Habari wanajamiiforum... mimi naitwa Alpha ninapenda kuwasogezea baadhi ya huduma zangu kwenu leo. ni matumaini yangu wengi watakao soma post hii ni aidha wafanya biashara au wafanya biashara watarajiwa au vyovyote vile.
Ningependa kuwashirikisha baadhi ya huduma zangu ambazo ni pamoja na
1...
Habari wanaJF,
Bila kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye mada.
Ninatafuta wanafunzi ishirini ambao nitawafanyia training na mentorship katika eneo la web design and development. Unaweza uwe ni mwanafunzi wa chuo, mfanyakazi, au hobbyst ambaye ana interest ya web design. Kwa kutumia...
Kampuni ya Sumtech Company Limited ina tengeneza website ambazo zina security, user friendly, high speed and good catching design.
Tunatengeneza website kwa watu tofauti base on religious, e-commerce, companies, educational, Ngo’s na kadhalika.
Tunapotengeneza website tunaweza ku include vitu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.