Habari wakuu, nimekumbuka wema nikiowahi kufanyiwa hatimaye mpaka sasa tumefanyika kuwa ndugu, kuna watu wana mioyo mizuri na wema ndani yake.
Ipo hivi 2020 kipindi niko chuo, ilikuwa imefika muda wa kwenda field na ilikuwa ni jijini Dar es salaam, basi nilikuwa na best angu yeye ndio kwao na...