wenye haki

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. technically

    Hivi Tanzania wenye haki ya kuteuliwa na Rais ni wazee tu?

    Vijana nafasi yetu iko wapi? Sijawai kuona kijana mwenye umri Kati ya miaka 18-30 akiteuliwa na Rais kuongoza taasisi yeyote ya umma! Wazee wa miaka 70 bado wapo serikalini wanabadilishwa kutoka huku kwenda kule. Imagine IGP mstaafu anakula Tena shavu, Waziri mkuu mstaafu anakula Tena shavu...
  2. Pascal Mayalla

    Wito wa Religious Tolerance: Usikosoe jambo lolote ambalo si imani yako!

    Wanabodi, Huko nyuma niliwahi kutoa wito wa Political Tolerance kwa vyama na wanasiasa tunaotofautiana kwa kubishana bila kugombana au kutukanana! Hili ni bandiko la kutoa wito wa religious Tolerance kwa imani za wengine hata kama hatuziamini. Usikosoe jambo lolote la kiimani la imani isiyo...
  3. N

    Uovu unaendelea kwa sababu ya ukimya wa wenye haki

    Mchungaji Dickson Kabigumila, amekemea kipindi cha Mr Right kinachorushwa na channel iliyoko kwenye king'amuzi cha startimes. Amesema katika kipindi hiko wanawaka kwa wanaume hutafuta wapenzi ambao amesema njia hiyo inaua maana ya ndoa kwa kuwa ni uchafu. Mchungaji amesema kama TCRA wanahusika...
Back
Top Bottom