wenyeviti wa bodi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. L

    Rais Samia afanya uteuzi wa Wakuu wa Wilaya na Wenyeviti wa bodi mbalimbali

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amefanya mabadiliko katika safu ya uongozi kwa kuwahamisha wakuu wa wilaya wawili na kuteua viongozi wapya kwenye nyadhifa mbalimbali. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Dkt. Moses Kusiluka...
  2. M

    Madaraka ya wenyeviti wa bodi kwenye mashirika/taasisi za umma

    Habarini wakuu, Naomba kufahamu kuhusu madaraka ya wenyeviti wa bodi kwenye mashirika/taasisi za umma hasa kwenye ajira. Je, mwenyekiti wa bodi anayo mamlaka ya kuajiri au kufanya recommendation ili mtu aajiriwe kwenye taasisi yake bila tangazo la ajira? Kuna ubishani tu kijiweni kwetu...
Back
Top Bottom