"Ukiona vyaelea jua vimeundwa "TANZANIA TUITAKAYO” ndani ya miaka mitano Hadi ishirini na tano ijayo, utekelezwaji wa matumizi sahihi ya Rasilimali asili kama vile aridhi ambayo ndiyo utajiri muhimu, ikumbukwe kuwa takribani ya kilometa za mraba 947,303 inayopatikana nchini Tanzania imekusanya...