wi-fi

Wi-Fi () is a family of wireless network protocols, based on the IEEE 802.11 family of standards, which are commonly used for local area networking of devices and Internet access, allowing nearby digital devices to exchange data by radio waves. These are the most widely used computer networks in the world, used globally in home and small office networks to link desktop and laptop computers, tablet computers, smartphones, smart TVs, printers, and smart speakers together and to a wireless router to connect them to the Internet, and in wireless access points in public places like coffee shops, hotels, libraries and airports to provide the public Internet access for mobile devices.
Wi‑Fi is a trademark of the non-profit Wi-Fi Alliance, which restricts the use of the term Wi-Fi Certified to products that successfully complete interoperability certification testing. As of 2017, the Wi-Fi Alliance consisted of more than 800 companies from around the world. As of 2019, over 3.05 billion Wi-Fi enabled devices are shipped globally each year.Wi-Fi uses multiple parts of the IEEE 802 protocol family and is designed to interwork seamlessly with its wired sibling Ethernet. Compatible devices can network through wireless access points to each other as well as to wired devices and the Internet. The different versions of Wi-Fi are specified by various IEEE 802.11 protocol standards, with the different radio technologies determining radio bands, and the maximum ranges, and speeds that may be achieved. Wi-Fi most commonly uses the 2.4 gigahertz (120 mm) UHF and 5 gigahertz (60 mm) SHF radio bands; these bands are subdivided into multiple channels. Channels can be shared between networks but only one transmitter can locally transmit on a channel at any moment in time.
Wi-Fi's wavebands have relatively high absorption and work best for line-of-sight use. Many common obstructions such as walls, pillars, home appliances, etc. may greatly reduce range, but this also helps minimize interference between different networks in crowded environments. An access point (or hotspot) often has a range of about 20 metres (66 feet) indoors while some modern access points claim up to a 150-metre (490-foot) range outdoors. Hotspot coverage can be as small as a single room with walls that block radio waves, or as large as many square kilometres (miles) using many overlapping access points with roaming permitted between them. Over time the speed and spectral efficiency of Wi-Fi have increased. As of 2019, at close range, some versions of Wi-Fi, running on suitable hardware, can achieve speeds of over 1 Gbit/s (gigabit per second).

View More On Wikipedia.org
  1. E

    Bus kuwa VIP linatakiwa kuwaje maana kuna moja nimepanda hakuna tofauti kubwa na la kawaida

    Kuna bus moja huko kanda ya ziwa sitalitaja ila sipandi tena kutokana na kutuona abiria ni wajinga. Baada ya kukuta kampuni niliyoizoea kujaa nikaenda kampuni nyingine nikaambiwa imebaki VIP na nikatajiwa nauli ambapo inaongezeka elfu 15 kutoka ile ya kawaida. Nikawauliza kuna huduma gani za...
  2. The Watchman

    LGE2024 Mgombea ACT- WAZALENDO: Mkituchagua tutaweka Wi-Fi ya bure kwenye Ofisi za Serikali za Mitaa

    Mgombea nafasi ya Uenyekiti wa Mtaa wa Msimbazi Bondeni, Kata ya Mchikichini jimbo la Ilala jijini Dar es Salaam kupitia chama cha ACT Wazalendo, Risasi Semasaba ameahidi kufunga huduma ya mtandao ya Wi-Fi kwa ajili ya wananchi watakaofika katika ofisi za Serikali za Mitaa kupata huduma. Soma...
  3. M

    Kwanini hospital ya Taifa ya muhimbili hakuna huduma ya Wi-fi?

    Hivi kwa nini hospital ya Taifa ya muhimbili hakuna huduma ya Wi-fi ?
  4. IBRA wa PILI

    Wi-fi problems

    Natumia simu brand ni oppo a 31 , Leo nipo job imegoma Ku connect WiFi sijajua shida nini wenzangu simu zao wanatumia saf mmoja ana oppo A8 lakini yangu ni big no ukiwasha ina connect then later inakuja neno no data connection sijajua natatua vipi wakuu msaada please 🙏 kumbuka WiFi ipo na...
  5. Tomaa Mireni

    SoC04 Kama Serikali ikishirikiana na wawekezaji kuwekeza kwenye public Wi-Fi, Tanzania tuitakayo itakuja haraka sana

    Kitambo kidogo mtandao wa Internet ulikuwa anasa ila kulingana na maendeleo ya sayansi na teknolojia mtandao umekuwa moja ya hitaji la binadamu. Kulingana na uchumi wa Afrika bado gharama za internet ni kubwa sana kulinganisha na hali za maisha mtaani. Mtandao wa Swahili Times ukimnukuu...
  6. L

    Kuhack password ya wi-fi

    Wanasema kizuri kula na nduguyo. Nimehamia mtaa fulani hivi wa raia wamejifungia kwenye mageti yao. Sasa huku fibre hakuna ila raia wamefunga superkasi. Katika kuhangaika nikapata tool moja inaitwa wifite. Aisee haka kadude ukiscan kanakuletea wifi zote zinazopatikana na password zake ndani ya...
  7. Melki Wamatukio

    Maalumu kwa watumiaji wa Home Internet (Wi-Fi)

    Habari za muda huu wakuu? Kwa watumiaji wa Home internet (Wi-Fi). Hivi malipo hufanyika kwa mwenendo upi? a) Nilifikiria huenda wana count idadi ya data unazotumia, hivyo unazilipa mwisho wa mwezi. Mfano GB 20 * 2500, hivyo kulipia 50k Au (b) Mnakubaliana kiwango fixed cha malipo bila kujali...
  8. Sildenafil Citrate

    Epuka Matumizi yasiyo ya lazima ya Wi-Fi za Umma

    Mitandao mingi ya Umma ya Wi-Fi huwa na usalama mdogo kiasi cha kufanya watu wengine wanaotumia mtandao huo kuwa na uwezo wa kufikia Shughuli na Taarifa zako Binafsi kwa urahisi. Wi-Fi huweka wazi anuani yako ya Kimtandao, Sehemu uliyopo pamoja na Mambo unayofanya ukiwa Mtandaoni. Unashauriwa...
  9. A

    Unlimited bundles zinazowekwa kwenye taasisi kubwa (free Wi-Fi)

    Habari wana jamii forums poleni na majukumu, Mimi ni member Mpya na ni post yangu ya kwanza. Natamani kujifunza kitu kuhusu hili swala kwa wanaofahamu. Kwa Sasa gharama za bundle ziko juu sana karibu kila mtu anatafuta namna ya ku-solve au kutatua, wengi now days tunatumia kwa mawasiliano...
  10. Gemini Are Forever

    Simu yangu ya Samsung inakataa ku-search/kushika Wi-Fi network

    Salaam JF Tech, Kama kichwa cha habari hapo juu kilivyo, simu yangu ya Samasung inakataa kutafuta au kunasa Wi-Fi. Simu zingine zinakubali. Tatizo nini? Msaada.
  11. BARD AI

    Serikali ya Kenya kufungua vituo 25,000 vya Wi-Fi ya bure

    Waziri wa Habari, Mawasiliano na Uchumi wa Kidijitali, Eliud Owalo amesema lengo la kutoa Wi-Fi bure kote nchini ni kukidhi hitaji hilo muhimu kwa wananchi. Amesema "Serikali inaamini katika uwekezaji wa Kidijitali kama njia ya kuwezesha Ujuzi wa Vijana, pia, tutatambua Mapungufu ya Ujuzi na...
  12. Wilhelm Johnny

    Naomba kujuzwa tofauti ya 2.4GHz WLAN na 5GHz WLAN na kazi zake kwa matumizi ya Wi-Fi maofisini na nyumbani

    Wakuu Nawasalimu kwa jina la jamuhuri ya muungano Tanzania. Twende kwenye mada wakuu nilikua naomba kujuzwa tofauti ya 2.4GHz WLAN na 5GHz WLAN na kazi zake kwa matumizi ya Wi-Fi maofisini na nyumbani
  13. nyambaterito

    INAUZWA WiFi Rauter inauzwa

    Inauzwa. Bei : 35,000/= Tsh. 0654979433 ni whatsapp
  14. Protector

    Udanganyifu wa free WiFi na full AC kwenye mabasi

    Mara nyingi mabasi mengi kama sio yote yana stika pembeni zikionesha huduma wanazotoa ni FREE WI-FI na FULL AC lakini ukiingia hakuna hata kimoja. Inawezekana wakati likiwa jipya lilikuwa na huduma hizo (kwa Wi-Fi) sina uhakika sana maana sijawahi kutumia hata siku moja hata kwenye basi jipya...
  15. Ephraim fundi umeme

    Nimesoma IT, Electrical Installation, pamoja na kufunga Camera System, Fire Alarms, Electric Fence, WI-FI setup - natafuta kazi

    Habari za jioni waungwana. Kama nilivyoeleza hapo juu kwenye heading hio, Nimefanya kazi zote hizo kwa muda tofauti tofauti na bado hahusika nazo mpaka Sasa. Nimekuja kwenu kuomba msaada wa kampuni, shirika, mtu binafsi atakayeweza/kuwa tayari kufanya kazi na mimi. Napatikana mkoa wa...
  16. Vishu Mtata

    Msaada kuhusu wi-fi

    Habari za majukumu wadau. Ndgu yenu simu yangu hii napata mkanganyiko kutumia wi-fi. Naomba mnijuze nifanye utundu gani niwe najiunga aisee, sometimes hata mtu akiniwashia hotspot basi mpaka kuunganisha hapo ni kisanga kinoma. Mpaka sijui uscan QR code, sasa ni freewife ya mahali fulani labda...
  17. J

    Jinsi ya kulinda kifaa chako cha elektroniki

    ZINGATIA: Zima 'Wi-Fi' na 'Bluetooth' wakati unapokuwa hutumii. Kufanya hivyo itakusaidia kutounganishwa na mitandao isiyo salama pamoja na kutunza chaji kwenye kifaa chako cha elektroniki
Back
Top Bottom