wilaya ya bahi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mkalukungone mwamba

    Wilaya ya Bahi watumia michezo ili kuhamasisha wananchi kujitokeza kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

    Mkuu wa Wilaya ya Bahi, Mh. Rebecca Nsemwa, amezindua Bonanza la Michezo wilayani humo, lililoshirikisha michezo mbalimbali ikiwemo timu nne za mpira wa miguu, kuvuta kamba, mbio fupi, kuruka na magunia na michezo mingine ambalo limekutanisha makundi tofauti tofauti kwa lengo la kuhamasisha...
  2. Pascal Mayalla

    Mapokezi ya Mwenge Dodoma: Wilaya ya Bahi yafanya Kufuru

    Wanabodi, kama kawaida yangu, nipatapo nafasi, huzungukia maeneo mbalimbali ya nchi yetu kushuhudia haya na yale. Leo nimepata fursa kushuhudia shamra shamra za mapokezi ya Mwenge wa Uhuru Mkoani Dodoma. Jana Mwenge ulilala Kijiji cha Mwitikira Wilaya ya Bahi. Mambo niliyoyaona usiku wakati wa...
Back
Top Bottom