Huku Mbeya wilaya ya BUSOKELO nimeona mchanganuo wa gharama za mafunzo kwa miezi 6 kwa kila mmoja ni 2,359,940 Tshs.
Hapo ni gharama za ada ya mafunzo vifaa, bima ya afya, malazi na chakula.
*Malazi 50,000 kwa mwezi.
*Chakula 6000 kwa siku.
Kusema ukweli nilitegemea kwamba kutakuwa na kiasi...