Miongoni mwa wilaya zenye idadi kubwa ya kata hapa nchini Tanzania ni wilaya ya kilosa. Wilaya ya Kilosa ina jumla ya kata 38 mara baada ya kugawanywa kidogo na kuzaa wilaya ya gairo yenye kata 8.
Kata za Wilaya ya Kilosa - Mkoa wa Morogoro - Tanzania ni
Berega | Chanzuru | Dumila | Kasiki...