wilaya ya kongwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. L

    Taifa letu ni Salama na lenye utulivu kisiasa Kwa sababu ya hawa Majenerali Pichani. Wanasiasa na viongozi Mnajifunza Nini hapa?

    Ndugu zangu Watanzania, Ukiona vyaelea ujuwe vimeundwa.tupo hapa tulipo tukiwa na utulivu wa kisiasa kwa sababu kuna watu walijitoa kwa jasho na Damu kulilinda ,kulipigania na kulitetea Taifa letu.tupo hapa tulipo kwa sababu kuna watu walitimiza vyema sana wajibu wao na kutanguliza mbele...
  2. B

    VIDEO:AJARI MBAYA YA KUTISHA:IMETOKEA MBANDE WILAYA YA KONGWA LEO 1/9/2024

    Ajari mbaya imetokea leo asubuhi njiani kuelekea Dodoma mjini Majeruhi ni wengi idadi ya vifo bado hijajulikana. Ni kati ya coaster na kimbinyiko MUNGU awape nafuu wote walio umia
  3. D

    KERO Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa ni wababaishaji, hasa ofisi za RITA

    Habari zenu, Leo mimi kama member of JamiiForums nimekuwa na muda kupita ofisi za RITA halmashauri ya wilaya ya Kongwa, kiukweli nimesikitishwa na namna watumishi wake walivyo kosa weledi wa kujituma na kuwasaidia wananchi wake. Hivi unakuta cheti cha kuzaliwa tu mtu unaambiwa njoo kesho na...
Back
Top Bottom