wilaya ya mbinga

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Judith Kapinga kutoa Kompyuta 139 Shule za msingi Wilaya ya Mbinga vijijini

    Naibu Waziri wa Nishati ambaye pia ni Mbunge wa Vijana Mkoa wa Ruvuma (CCM), Mhe.Judith Kapinga ameahidi kutoa kompyuta 139 katika Shule za Msingi 139 zilizopo Halmashauri ya wilaya ya Mbinga Vijijini ili kuchochea kasi ya ukuaji wa Elimu katika wilaya hiyo. Mhe. Kapinga ametoa ahadi hiyo...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…