wilaya ya monduli

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    Maofisa msitu wadaiwa kuchoma nyumba, familia yalala nje siku nne

    Familia ya watu sita wilayani Monduli, mkoani Arusha kwa siku nne imelala nje, baada ya nyumba zao kuchomwa moto na wanaodaiwa kuwa maofisa maliasili. Watu hao wanaoishi Kata ya Monduli Juu wanadaiwa kuishi ndani ya hifadhi ya msitu wa jamii katika Kijiji cha Emairete. Akizungumza na Mwananchi...
  2. Leak

    Makonda ataka watumishi wa Monduli waliokwapua milioni 52 kupitia mashine za POS wapelekewe moto kwelikweli

    Wanasema ukifikiri umeona kila jambo hapa nchini basi ujue unajidanganya! Huko Monduli Arusha Watumishi nane wamebainika kuiba milioni 52 kupitia mfumo wa poss na cha kushangaza walipewa muda wa kuzilipa pesa hizo na hadi sasa hawajafanikiwa kuzilipa! Mbele ya Mkuu wa mkoa wa Arusha...
  3. SOVIET UNION

    Awamu hii kuna displacement kubwa inakuja hasa Wilaya za Simanjiro, Longido na Monduli

    Kuna wimbi la Wazungu wanapigana vikumbo kutaka hekari na hekari za maeneo kwenye wilaya za Monduli, Simanjiro na Longido, na sana Simaniro na Longido ndizo wilaya zinaweza poteza robo tatu ya vijiji vyao kwa kupewa wazungu. Kwa walio Simanjario nazani kazi ishaanza muda sio mrefu utasikia...
Back
Top Bottom